Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Tambach

Tambach ni mji wa Kenya magharibi, katika kaunti ya Elgeyo-Marakwet.

Umeunganika na mji wa Iten na kuwa na wakazi 44,448 kwa jumla wakati wa sensa ya mwaka 2009[1].

Tambach ni kata ya eneo bunge la Keiyo Kaskazini[2].

Tanbihi

  1. Sensa ya Kenya 2009 Ilihifadhiwa 9 Januari 2019 kwenye Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.
  2. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency Archived Septemba 29, 2007, at the Wayback Machine
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya