Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Bomet

Barabara ya Narok-Bomet katika Mji wa Bomet


Bomet
Kaunti Bomet
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 110,963

Bomet ni mji mkuu wa kaunti ya Bomet nchini Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.

Wakazi walikuwa 110,963 wakati wa sensa ya mwaka 2009[1].

Tanbihi

  1. Sensa ya Kenya 2009 Ilihifadhiwa 9 Januari 2019 kwenye Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya