Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Udhaifu

Udhaifu (kutoka neno la Kiarabu), kinyume cha nguvu, ni hali ya mwili, ya nafsi au ya roho inayofanya mtu asiweze mambo mbalimbali ambayo yanampasa au yanawezekana kwa wenzake wengi. Unaweza kutokana na ulemavu, ufukara, njaa, tabia mbovu n.k.

Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya