Aliifanya kuwa shule ya wasomi, watakatifu na wafiadini wahanga wa dhuluma za waliopinga heshima kwa picha takatifu. Kwa kutetea kwa nguvu heshima hiyo, bila kujali kwamba msimamo wake ulimvutia dhuluma kutoka kwa kaisari na patriarki zilizoathiri sana afya yake, alipelekwa uhamishoni mara tatu [3].
Hatlie, Peter (1996). "The Politics of Salvation: Theodore of Stoudios on Martyrdom (Martyrion) and Speaking Out (Parrhesia)". Dumbarton Oaks Papers. 50. Washington, District of Columbia: Dumbarton Oaks: 263–287. JSTOR1291747. {{cite journal}}: Invalid |ref=harv (help)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.