Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Severini wa Paris

Mt. Severini katika kioo cha rangi cha kanisa lake huko Paris.

Severini wa Paris (alifariki Paris, leo nchini Ufaransa, 540 hivi) alikuwa mkaapweke aliyeishi miaka mingi amejifungia katika chumba huko Paris akimuelekea Mungu katika sala [1][2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu [3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Novemba[4].

Tazama pia

Tanbihi

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya