Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Raphael Michael Japhary

Raphael Michael Japhary ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CHADEMA. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Moshi Mjini kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya