Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Mzigo

Mzigo ni kitu chochote ambacho kinafungwa na kubebwa.

Kutokana na maana hiyo asili, neno linaweza kumaanisha jambo ambalo linatatiza au kukwaza, au mtu ambaye hashauriki wala kuambilika, hivyo amekuwa tatizo kwa jamii yake.

Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya