Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Mto Bangala

Mto Bangala ni mmojawapo kati ya mito ya Tanzania.

Unatiririka upande wa kaskazini mashariki wa nchi na kuingia katika mto Mkuzu.[1]

Mto huu unajazwa maji na poromoko la maji lijulikanalo kama Poromoko la Soni.[2]

Tanbihi

  1. Finke, Jens (26 Novemba 2002). Rough guide to Tanzania. Rough Guides. uk. 351. ISBN 978-1-85828-783-6. Iliwekwa mnamo 31 Machi 2012.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Finke, Jens (2003). Tanzania (kwa Kiingereza). Rough Guides. ISBN 978-1-85828-783-6.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya