Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Mkonge

Mkonge
Mkonge wa Fischer (Sansevieria fischeri)
Mkonge wa Fischer (Sansevieria fischeri)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja tu)
Oda: Asparagales (Mimea kama mwinikanguu)
Familia: Asparagaceae (Mimea iliyo mnasaba na mwinikanguu)
Jenasi: Sansevieria (Mikonge)
Thunb.
Ngazi za chini

Spishi nyingi; katika Afrika ya Mashariki:

Mikonge ni mimea ya jenasi Sansevieria katika familia Asparagaceae. Majani yao huitwa makonge. Jina hili limesilikiwa kwa Agave sisalana (mkonge dume unaolimwa kwa uzalishaji wa katani) na spishi nyingine za jenasi Agave (mkonge-pori).

Spishi za Afrika ya Mashariki

Picha

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkonge kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya