Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Kitoweo

Vitoweo vitatu vilivyoandaliwa pamoja na ugali (kulia juu), kama inavyotarajiwa katika mapishi ya Afrika.

Kitoweo (kutoka kitenzi kutowea) ni chakula kinachotumika pamoja na ugali, wali, mihogo, ndizi n.k. Kwa mfano ni nyama, dagaa, sukumawiki, matembele n.k.

Pengine neno hilo linatumika kama kisawe cha mboga.

Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kitoweo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya