Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Keren

Keren (awali: Sanhit) ni mji uliopo katika mkoa wa Anseba nchini Eritrea. Ndio makao makuu ya mkoa huo.

Mwaka 2016 idadi ya watu ilikadiriwa kuwa 120,000 [1].

Tazama pia

Tanbihi

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Keren kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya