Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Go-Ichijo wa Japani

Go-Ichijo (12 Oktoba, 100815 Mei, 1036) alikuwa mfalme mkuu wa 68 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Atsuhira, na alikuwa mwana wa pili wa Tenno Ichijo. Mwaka wa 1016 alimfuata binamu yake, Tenno Sanjo, na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata kama Tenno ni mdogo wake, Go-Suzaku.

Kaburi la Mfalme Go-Ichijō na mmoja wa binti zake, Kyoto

Angalia pia

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Go-Ichijo wa Japani kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya