Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Giovanni Romano

Giovanni Romano (alifariki 1485) alikuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki aliyewahi kuwa Askofu wa Terni (14811485). Romano alipewa daraja ya upadre katika Shirika la Wahubiri (Order of Preachers). Mnamo 1481, aliteuliwa na Papa Sixtus IV kuwa Askofu wa Terni, akihudumu hadi kifo chake mnamo 1485. [1]

Marejeo

  1. Eubel, Konrad (1914). Hierarchia catholica medii et recentioris aevi. Juz. la II (tol. la second). Münster: Libreria Regensbergiana. uk. 168. (in Latin)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya