Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Gabriel Simo

Gabriel Simo (15 Machi 1937, Bapa, Hauts-Plateaux – 24 Novemba 2017, Bafoussam) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Kameruni.

Alihudumu kama askofu msaidizi wa Jimbo kuu la Douala kutoka 1987 hadi 1994, kisha akawa askofu wa Jimbo Katoliki la Bafoussam kutoka 1994 hadi 2013.[1]

Marejeo

  1. "Nécrologie : Mgr Gabriel Simo, l'ancien Évêque auxiliaire Émérite de Bafoussam est mort". lebledparle.com (kwa French). Iliwekwa mnamo 27 Novemba 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) CS1 maint: unrecognized language (link)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya