Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Eulalia wa Merida

Mt Eulalia alivyochorwa na John William Waterhouse, 1885, Tate collection.

Eulalia wa Merida (Merida, Hispania, 292 - Merida, 304) alikuwa bikira anayeheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mwenye sifa ya mfiadini pia.

Inasemekana katika ujana wake hakusita kutoa uhai wake kushuhudia imani yake kwa Kristo [1].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Desemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

  • Blackburn and Holford-Strevens: Oxford Book of Days, entry for 10 December

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya