Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Afonso I

Afonso I alivyochorwa.

Afonso I (pia: Mvemba a Nzinga, Nzinga Mbemba, Funsu Nzinga Mvemba au Dom Alfonso (1456 hivi - 1542 au 1543) alikuwa Manikongo wa 6 wa Ufalme wa Kongo kuanzia mwaka 1509, baada ya kifo cha baba yake, Nzinga Nkuwu hadi kifo chake mwenyewe. Afonso I alijitahidi sana kufanya ufalme wote ufuate imani na maadili ya Kanisa Katoliki kwa msaada wa mtoto wake Henri wa Kongo, askofu wa kwanza kutoka Afrika kusini kwa ikweta.

Marejeo

  • Afonso's letters are all published, along with most of the documents relating to his reign in:
    • António Brásio, Monumenta Missionaria Africana (1st series, 15 volumes, Lisbon: Agência Geral do Ultramar, 1952–88), vols. 1, 2 and 4.
    • While a separate publication of just his letters and allied documents (in French translation) is in Louis Jadin and Mirelle Dicorati, La correspondence du roi Afonso I de Congo (Brussels, 1978).
  • McKnight, Kathryn Joy, and Leo J. Garofalo. "Afro-Latino Voices: Narratives from the Early Modern Ibero-Atlantic World, 1550-1812."
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Afonso I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya